Sunday, November 18, 2007

MWANZA NITE

Hapo jana, tarehe 17 Novemba 2007 katika ukumbi wa KLUBI kulikuwa na sherehe za kuadhimisha Mwanza Day. Sherehe hizo zilifanikishwa na muziki wa disko (ngwasuma, bongo flava n.k.) uliopigwa na DJ George Matovu, nyimbo na ngoma za vijana wa Mponda (hatuondoki mpaka pombe iishe) , ngoma na muziki wa kantele ulipigwa pia na kikundi cha Bandu Bandu kikiongozwa na Arnold Chiwalala. Vijana wa Cheza ngoma walifurahisha watazamaji kwa ngoma zao mbalimbali, hasa ile ya gobogobo. Bendi ya Galaxy (wanamuziki wa Senegali) kutoka Helsinki walifurahisha pia watazamaji kwa muziki wao wa Senegal hasa kutokana na ile ngoma yao inayoteta.

George Matovu


Mpondas


Bandu Bandu


Galaxy on stage



Klubi

Wageni kutoka Mwanza






No comments: