Monday, October 27, 2008

TAMPERE AFRO FIESTA

Sunday, June 1, 2008

SUMMER IMEINGIA

Summer (kipindi cha joto) imeanza na kama ilivyo kawaida ya huku, ni wakati wa kufurahia maisha ya nje baada ya kipindi kirefu cha baridi, ambacho inabidi kwa wakati mwingi, watu wakae ndani. Hivyo basi wakati wa joto shughuli nyingi hufanywa nje na kuendelea kwa muda mrefu kwa kuwa jua halizami katika kipindi hiki.

Hapo chini ni katika Grill Party aliyoifanya Menard Mponda na kuwaalika rafiki zake, wa Tanzania na kutoka nchi zingine mbalimbali.










Sunday, March 23, 2008

EASTER


Hapa Tampere Pasaka ilifana kwa jamii ya Watanzania na rafiki zao, ambapo matukio mbalimbali yalifanyika ya kusherehekea pamoja.

Monday, February 11, 2008

FEST AFRICA 2008

FEST AFRICA 2008


DEAR FRIENDS
FEST AFRIKA PRESENTS AN AFRICAN WINTER JAM FESTIVAL. SPICED WITH LOTS OF HAPPENINGS AND GREAT LIVE EVENTS. ATTACHED BELOW IS THE PROGRAMME, PLEASE GO THROUGH IT. COME ONE COME ALL. TICKETS ON SALE IN ADVANCE (check below), PLEASE HURRY AND DON'T MISS A CHANCE TO PARTICIPATE IN THE BEST AFRICAN EVENT OF THE YEAR. PLEASE FORWARD TO FRIENDS.


DATE : SATURDAY 23.02.2008
TIME : 20-04:00
PLACE: KLUBI-TAMPERE-FINLAND


SUPPORTING ARTISTS :-

.PAPA ZAI-FROM ZAMBIA - ROOTS REGGAE SOUND SYSTEAM.
.CHEZA NGOMA - Fin -Tanzania-Afro dance.
.SAMBA GIRLS -Fin-
Oba oba.
.
OCG-Tanzania
RnB and HipHop.
.MPONDA´S-
Singing, drumming and body movements.

MAIN BAND


.PABLOMACHINE and THE TANGANYIKA SOUND- From Tanzania & Burundi (based in Sweden)

Plays Ndombolo, Afro-Rumba, Soukous, Afro-Beats & much more


DJs CLIFF (dj hakuna matata)
Fidelis- Sweden
Mambo Team


TICKETS 10€ Advance at Klubi, Epe´s and Swamp Music;
15€ at the door


Links:

www.festafrika.net
www.pablomachine.podomatic.com
www.bredband.net
www.chezangoma.net

Friday, January 18, 2008

JETFIGHTER


Unaweza kujifunza kuwa fundi wa jetfighter!

Friday, January 11, 2008

CATHEDRAL LA TAMPERE

FILOSOFIA

Nimeshasoma maneno mengi yaliyojaa filosofia nzuri, na natumaini wengi wenu mmeshayasoma pia. Kuna nmaneno fulani niliyaona yamebandikwa kwenye ukuta wa sebule wa nyumba moja hapa Tampere, ambayo yalinifanya nitafakari sana. Labda na wewe yatakufanya utafakari. Maneno yenyewe yalikuwa katika lugha ya kiingereza, na yalikuwa kama yafuatavyo:

"ALL VISITORS WHO COME TO THIS HOUSE MAKE US VERY HAPPY, SOME WHEN THEY ARRIVE AND SOME WHEN THEY LEAVE"

Upo hapo?

Na katika pitapita zangu leo katika mitaa ya Tampere niliona jamaa kaandika haya maandishi katika mojawapo ya mabin ya mjini. Nikafikiria ni kitu gani kilichomfanya jamaa huyu kuandika haya maneno, tena kwa ufanisi mzuri. Nikatafakari, nikasema; "Mmhhh". Wewe je?