Hapo chini ni katika Grill Party aliyoifanya Menard Mponda na kuwaalika rafiki zake, wa Tanzania na kutoka nchi zingine mbalimbali.
Sunday, June 1, 2008
SUMMER IMEINGIA
Summer (kipindi cha joto) imeanza na kama ilivyo kawaida ya huku, ni wakati wa kufurahia maisha ya nje baada ya kipindi kirefu cha baridi, ambacho inabidi kwa wakati mwingi, watu wakae ndani. Hivyo basi wakati wa joto shughuli nyingi hufanywa nje na kuendelea kwa muda mrefu kwa kuwa jua halizami katika kipindi hiki.
Hapo chini ni katika Grill Party aliyoifanya Menard Mponda na kuwaalika rafiki zake, wa Tanzania na kutoka nchi zingine mbalimbali.








Hapo chini ni katika Grill Party aliyoifanya Menard Mponda na kuwaalika rafiki zake, wa Tanzania na kutoka nchi zingine mbalimbali.
Sunday, March 23, 2008
EASTER
Monday, February 11, 2008
FEST AFRICA 2008
DEAR FRIENDS
FEST AFRIKA PRESENTS AN AFRICAN WINTER JAM FESTIVAL. SPICED WITH LOTS OF HAPPENINGS AND GREAT LIVE EVENTS. ATTACHED BELOW IS THE PROGRAMME, PLEASE GO THROUGH IT. COME ONE COME ALL. TICKETS ON SALE IN ADVANCE (check below), PLEASE HURRY AND DON'T MISS A CHANCE TO PARTICIPATE IN THE BEST AFRICAN EVENT OF THE YEAR. PLEASE FORWARD TO FRIENDS.
FEST AFRIKA PRESENTS AN AFRICAN WINTER JAM FESTIVAL. SPICED WITH LOTS OF HAPPENINGS AND GREAT LIVE EVENTS. ATTACHED BELOW IS THE PROGRAMME, PLEASE GO THROUGH IT. COME ONE COME ALL. TICKETS ON SALE IN ADVANCE (check below), PLEASE HURRY AND DON'T MISS A CHANCE TO PARTICIPATE IN THE BEST AFRICAN EVENT OF THE YEAR. PLEASE FORWARD TO FRIENDS.
DATE : SATURDAY 23.02.2008
TIME : 20-04:00
PLACE: KLUBI-TAMPERE-FINLAND
SUPPORTING ARTISTS :-
.PAPA ZAI-FROM ZAMBIA - ROOTS REGGAE SOUND SYSTEAM.
.CHEZA NGOMA - Fin -Tanzania-Afro dance.
.SAMBA GIRLS -Fin-Oba oba.
.OCG-Tanzania RnB and HipHop.
.MPONDA´S-Singing, drumming and body movements.
MAIN BAND
.PABLOMACHINE and THE TANGANYIKA SOUND- From Tanzania & Burundi (based in Sweden)
Plays Ndombolo, Afro-Rumba, Soukous, Afro-Beats & much more
DJs CLIFF (dj hakuna matata)
Fidelis- Sweden
Mambo Team
TICKETS 10€ Advance at Klubi, Epe´s and Swamp Music;
15€ at the door
Links:
www.festafrika.net
www.pablomachine.podomatic.com
www.bredband.net
www.chezangoma.net
Friday, January 18, 2008
Friday, January 11, 2008
FILOSOFIA
Nimeshasoma maneno mengi yaliyojaa filosofia nzuri, na natumaini wengi wenu mmeshayasoma pia. Kuna nmaneno fulani niliyaona yamebandikwa kwenye ukuta wa sebule wa nyumba moja hapa Tampere, ambayo yalinifanya nitafakari sana. Labda na wewe yatakufanya utafakari. Maneno yenyewe yalikuwa katika lugha ya kiingereza, na yalikuwa kama yafuatavyo:
"ALL VISITORS WHO COME TO THIS HOUSE MAKE US VERY HAPPY, SOME WHEN THEY ARRIVE AND SOME WHEN THEY LEAVE"
Monday, December 31, 2007
HERI ZA MWAKA MPYA 2008
KWA NIABA YA WATANZANIA WAISHIO TAMPERE, NAPENDA KUWATAKIA WADAU WOTE WA BLOG HII HERI NA FANAKA ZA MWAKA MPYA 2008!
Wednesday, December 26, 2007
KRISMASI YA 2007
Mwaka huu sikukuu ya Krismasi ilisherehekewa kwa ujumla nyumbani kwa Dr. Augustino Binamu ambapo wadau wengi walihudhuria. Picha zitajieleza zenyewe!
Monday, December 10, 2007
SHULE ZA TAMPERE
Hapa Tampere kuna shule nyingi ambazo zinatoa mafunzo mbalimbali. Hapa ni kwenye shule ambayo inafundisha vijana waliohitimu mafunzo ya sekondari kujofunza umekanika wa ndege. Finland kuna nafasi nyingi sana za masomo, na hivi karibuni vijana wengi wa ki Tanzania wamekuwa wakichangamkia nafasi hizo. Kitu kizuri zaidi ni kuwa hakuna gharama zozote za ada!


Friday, December 7, 2007
Tuesday, December 4, 2007
MGENI KUTOKA MWANZA
Wednesday, November 28, 2007
MENARD MPONDA, U WAPI?
Naitwa Alex Rwambali nipo GERMANY; tafadhali naomba contact za MEDAD MPONDA huyo jamaa tulikuwa nae pale Bagamoyo miaka ya 1993-1995 alinitangulia mwaka mmoja. Email yangu hiyo hapo.Nashukuru in advance
amagere@hotmail.com
November 27, 2007 5:30 PM
USIKU WA MWAFRIKA, JOENSUU
Naitwa Sunday Ngakama toka Mwanza, ninapenda kuwajulisha Watanzania wote waishio Finland kwamba kutakuwa na usiku wa Mwafrika tarehe 28 Novemba, katika ukumbi wa jiji la Joensuu, Teatteri Klubi.
Kwa maelezo zaidi, mawasiliano kwa: sundayngakama@yahoo.co.uk, au 0505373949. Asanteni!
Kwa maelezo zaidi, mawasiliano kwa: sundayngakama@yahoo.co.uk, au 0505373949. Asanteni!
Sunday, November 18, 2007
MWANZA NITE
Hapo jana, tarehe 17 Novemba 2007 katika ukumbi wa KLUBI kulikuwa na sherehe za kuadhimisha Mwanza Day. Sherehe hizo zilifanikishwa na muziki wa disko (ngwasuma, bongo flava n.k.) uliopigwa na DJ George Matovu, nyimbo na ngoma za vijana wa Mponda (hatuondoki mpaka pombe iishe) , ngoma na muziki wa kantele ulipigwa pia na kikundi cha Bandu Bandu kikiongozwa na Arnold Chiwalala. Vijana wa Cheza ngoma walifurahisha watazamaji kwa ngoma zao mbalimbali, hasa ile ya gobogobo. Bendi ya Galaxy (wanamuziki wa Senegali) kutoka Helsinki walifurahisha pia watazamaji kwa muziki wao wa Senegal hasa kutokana na ile ngoma yao inayoteta.
Sunday, November 11, 2007
GRADUATION PARTY YA ROBERT MHEKWA
Tuesday, October 16, 2007
AUTUMN IMEWADIA
Kipindi cha autumn kimewadia kwetu. Katika kipindi hiki, baridi huanza kuwa kali, majani hupukutika kutoka mitini na jua linachelewa kuchomoza asubuhi, na kuzama wakati wa adhuhuri. Matokeo yake ni kuwa katika giza kwa muda mrefu zaidi. Ili kuchangamsha nafsi za watu, kunakuwa na mapambo ya taa katika barabara kubwa ya Tampere, Hameenkatu.
Saturday, September 29, 2007
MNADA WA POLISI
Leo kuanzia saa sita mchana palikuwepo na mnada wa Polisi ambapo vitu vingi vilinadiwa. Vitu hivyo vilikuwa baiskeli, navigators, playstation, simu na kadhalika. Mnada kama huu hufanyika kila mwaka wakati kama huu na unaweza kujipatia kifaa kizuri kwa bei ya mnadani. Niliona wanafunzi Wachina na Wahindi ambao walinunua baiskeli.
Thursday, September 27, 2007
Monday, September 24, 2007
Subscribe to:
Posts (Atom)
































